MAFUNZO YA UFUGAJI BORA WA KUKU

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kwa kushirikiana na Taasisi ya
kujenga uwezo kwa watu kujiletea maendeleo Afrika (AICAD)
wanatangaza mafunzo ya ufugaji bora wa kuku yatakayofanyika
kuanzia tarehe 17 – 20 Novemba, 2025.
Ukumbi wa Taasisi ya Elimu ya
Kujiendeleza (ICE). Read More…

Pata fomu ya usajili hapa KUPAKUA FOMU BOFYA HAPA…