MAFUNZO YA UFUGAJI BORA WA KUKU


Taasisi ya Elimu ya kujiendeleza(ICE)kwa kushirikiana na Tasisi ya kujenga uwezo kwa watu kujiletea maendeleo barani Afrika(AICAD).
Watatoa mafunzo ya ufugaji bora wa kuku kuanzia tarehe 03/11 hadi tarehe 06/11/2025.jaza fomu inayopatikana kwenye hii link hapa chini

KUPAKUA FOMU BOFYA HAPA…